- shingo
- ------------------------------------------------------------[Swahili Word] mwenye shingo ngumu[Swahili Plural] wenye shingo ngumu[English Word] stiff-necked person[English Plural] stiff-necked people[Part of Speech] noun[Class] 1/2------------------------------------------------------------[Swahili Word] mwenye shingo ngumu[Swahili Plural] wenye shingo ngumu[English Word] stubborn person[English Plural] stubborn people[Part of Speech] noun[Class] 1/2------------------------------------------------------------[Swahili Word] shingo[Swahili Plural] shingo[English Word] neck[English Plural] necks[Part of Speech] noun[Class] 9/10[Swahili Example] alimshika Rosa shingoni kwa ukosi wa gauni lake [Kez], aliteremshe [shoka kali] kwa nguvu juu ya mashingo ya watu hawa wawili [Muk], macho juu, shingo upande, mikono pamoja kifuani pake [Kez][English Example] (s)he held Rosa by the neck using the collar of his/her gown------------------------------------------------------------[Swahili Word] shingo (ya kanzu)[Swahili Plural] shingo[English Word] collar[English Plural] collars[Part of Speech] noun[Class] 9/10[Swahili Example] kuzipachika noti katika shingo ya kanzu aliyovaa [Sul][English Example] to secure notes in the neck of the kanzu------------------------------------------------------------
Swahili-english dictionary. 2013.